Thursday, August 13, 2015

Wakati Wengi Wakilalamikia Mitandao Ya kijamii, Hii Ni Hatua Iliyochukua Serikali ya India Kwa Mtu Huyu Baada ya Kushare Picha Chafu Za Mtoto Mdogo

Hii imetokea katika mji wa Chennai, nchini India. Ni mji ulio na Viwanda vingi pia ni mji mkubwa wa kibiashara. Engineer mmoja katika mji huo alifikia hatua ya kushare picha chafu, tena zikimuhusisha mtoto mwenye umri mdogo, akitumia group ya Watsapp ambayo inatumiwa na wafanyakazi katika kampuni anapofanyia kazi pia. Jamaa amekua chini ya ulinzi wa polisi ni baada ya mwanamke mmoja ambaye pia yupo katika group hilo, kukerwa na kuamua kutoa taarifa katika vyombo husika, na serikali haikuchelewa kumtia rumande, akatoe maelezo zaidi huko.
Chombo maalumu kinacho husika na mambo ya kimitandao na kutetea mambo machafu wanyo kua wakifanyiwa watoto wadogo Protection Of Children From Sexual Offences (POSCO), Ndio waliohusika katika uchunguzi wa sakata zima, haikuishia hapo tu jamaa wakagundua kwamba simu ya Engineer huyu ndio iliyohusika katika kuchukua picha pamoja na videos, sababu zilizojitosheleza kabisa kmuweka jamaa chini ya ulinzi.

Pia serikali ya India haukushia hapo tu, imetoa agizo kwa Internet providers kuzima sites zote zinazo jihusisha na kupost picha za ngono za watoto wenye umri mdogo.

Hii imekua kero kubwa pia hapa bongo, wazazi wamekua wakilalamikia sana mitandao hii ya kijamii, kwani inawafanya watoto kuiga mambo mengi sana yanyo onekana katika mitandao, lakini limekua gumu sana katika utendaji, kwani bado watu wanapata picha na video za namna hii ambozo pia zipo katika viganja vya watu wengi. Na imekua rahisi sana kwa vijana na watoto wadogo kuvifikia na kutazama kadri wanavyo jisikia.

Monday, August 3, 2015

Sikia Alicho Fanya Ben Pol Katika hii "All Of Me/Drunk In Love Cover" (Audio)


Tumesikia ngoma kibao walizo fanya undergrounds kibao, haswa kwa wale wanao yafuta attention kupitia Youtube na social networks, Lakini pia mastaa kibao wamekua wakitumia ngoma hizi zilizo chukua nafasi katika mitandao na stations nyingi duniani.
Hii sasa ni ya Ben Pol, the king of RnB ambae story iliyopo town kwasasa ni ile ya kuitwa katika muendelezo wa zile seasons za Coke Studio kufanya yale kama walofanya kina Dimond, Jide, Joh Makini na wengine. Ni Music cover ya "All Of Me na Drunk in Love" unaweza kudance humu ndani.

Isikilize Hapa