Thursday, July 23, 2015

Aiseee Nuhu Na Shilole, Nia Yao Kumbe Ilikua Hii (Audio)


Siku kadhaa hapa nyuma tuliona majibizano flani @Instagram, wengi tukidhani kwamba jamaa wamezinguana tena, kumbe majibizano yote ilikua ni kama lyrics hivi, ya ngoma yao hii inayo itwa Ganda la Ndizi.
Imekua kawaida kusikia mambo kama haya kwa mastaa kadhaa, nadhan ni namna tu ya kupata attention kutoka kwa mashabiki, na mda mwingine ina tengeneza makundi kabisa, laikini kumbe nia ya wawili hawa ilikua tofauti kabisa. Kitu ambacho binafsi nadhani ni kizuri, unawapa watu kitu ambacho hata hawaku tarajia.

Ila sasa wakati mwingine inabidi watafute namna nyingine, kwani ni mara nyingi sasa wamekua kama na ogimvi hivi lakin kumbe ni michezo tu

Sikia Ganda la Ndizi hapa

No comments:

Post a Comment