Tumeona mambo mazuri sanaa kutoka kwa wasanii wa hapa nyumbani, wamekua wakishirikiana na kumake hit songs kadhaa, ambapo nyingi zimekua ni internationa hits, makundi kama
Weusi,
Navy Kenzo, Yamoto Band, na Lile la wapenzi wawili
Jux na
Vanessa Mdee.
Hii mpya leo, ni collabo inayo wahusu
Navy Kenzo pamoja na Mwananadada aliyetoka kutuwakilisha katika tuzo za mama
Vanessa Mdee, ngoma inaitwa
"Game".
Isikie hapa chini;
No comments:
Post a Comment