Wednesday, July 22, 2015

Ulilijua Hili, Diamond kutia Calenda Collabo Na D'Banj (Audio)




Issue nzima imezungumziwa leo katika XXL ya Clouds Fm, kumbe jamaa ilikua wafanye kazi kitambo na D'banj akawa anaona kama clue nzima ya Diamond pamoja na mameneja wake wanamrushia ivi.

Jamaa anasema labda ni kwasababu Diamond anakua akimake mkwanja mrefu kili iitwapo siku, na anasikia kila siu yupo Nigeria, kaomba apewe taarifa wafanye kazi watu waenjoy.

Msikia hapa D'banj pamoja na Majibu ya Diamond, pia kuna issue inaweza kuwapo inamuhusu Davido na Alikiba


No comments:

Post a Comment