Issue nzima imezungumziwa leo katika
XXL ya
Clouds Fm, kumbe jamaa ilikua wafanye kazi kitambo na
D'banj akawa anaona kama clue nzima ya
Diamond pamoja na mameneja wake wanamrushia ivi.
Jamaa anasema labda ni kwasababu Diamond anakua akimake mkwanja mrefu kili iitwapo siku, na anasikia kila siu yupo Nigeria, kaomba apewe taarifa wafanye kazi watu waenjoy.
Msikia hapa D'banj pamoja na Majibu ya Diamond, pia kuna issue inaweza kuwapo inamuhusu
Davido na
Alikiba
No comments:
Post a Comment